Sabah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Jimbo la Sabah

Sabah ni jimbo mojawapo kati ya 13 yanayounda shirikisho la Malaysia; liko kaskazini mwa kisiwa cha Borneo pamoja na jimbo la Sarawak, wakati majimbo mengine yote yako Asia bara.

Mji mkuu ni Kota Kinabalu.

Hakuna kabila kubwa lenye watu zaidi ya asilimia 50 katika eneo lote.

Upande wa dini, serikali imechangia sana uenezi wa Uislamu hata ukatangazwa dini rasmi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: