Sarawak

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maporomoko ya maji ndani ya mji wa Sarawak
Sarawak
Bendera
Nembo
Mji mkuu (na mkubwa zaidi){{{mji_mkuu}}}
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Lugha rasmi{{{lugha_rasmi}}}
Serikali{{{serikali}}}
{{{vyeo_viongozi}}}{{{majina_viongozi}}}
{{{muundo_uhuru}}}{{{tarehe_uhuru}}}
Eneo
 • Eneo la jumla{{{eneo_jumla}}}
 • Maji (%){{{maji}}}
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2023{{{watu_kadirio}}}
Pato la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_kwa_mtu}}}
Pato Halisi la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato_halisi}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_halisi_kwa_mtu}}}
Maendeleo ({{{mwaka_maendeleo}}}){{{maendeleo}}}
Fedha{{{fedha}}}
Majira ya saa{{{majira_saa}}}
Muundo wa tareheDD/MM/YYYY

Sarawak ni jimbo mojawapo kati ya 13 yanayounda shirikisho la Malaysia; liko kaskazini mwa kisiwa cha Borneo pamoja na jimbo la Sabah, wakati majimbo mengine yote yako Asia bara.

Mji mkuu ni Kuching wenye wakazi 579,900.

Miji mingine mikubwa zaidi ni Sibu (wakazi 254,000), Miri (Wakazi 263,000) na Bintulu (wakazi 176,800).

Hakuna dini wala kabila kubwa lenye watu zaidi ya asilimia 50 katika eneo lote.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: