Brunei
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "Daima katika utumishi kwa msaada wa Mungu" (translation) | |||||
Wimbo wa taifa: Allah Peliharakan Sultan "Mungu ambariki Sultani" | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Bandar Seri Begawan | ||||
Mji mkubwa nchini | Bandar Seri Begawan | ||||
Lugha rasmi | Kimalay na Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme Hassanal Bolkiah | ||||
Uhuru kutoka Uingereza Mwisho wa hali ya nchi lindwa |
1 Januari 1984 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
5,765 km² (ya 170) 8.6 | ||||
Idadi ya watu - 2013 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
415,7170 (ya 175) 332,844 67.3/km² (ya 134) | ||||
Fedha | Brunei ringgit (BND )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+8) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .bn | ||||
Kodi ya simu | +6731
- | ||||
1 Also 080 from Malaysia. |
Brunei (jina rasmi niː برني دار السلام , Negara Brunei Darussalaam, yaaniː Brunei Nyumba ya Amani) ni usultani mdogo na nchi huru kwenye kisiwa cha Borneo ya Asia ya Kusini-Magharibi.
Imepakana na majimbo ya Sarawak na Sabah ya Malaysia tu, ingawa sehemu kubwa ya kisiwa hicho inatawaliwa na Indonesia.
Mji mkuu ni Bandar Seri Begawan.
Mtawala wa nchi ni sultani Hassan al-Bolkiah. Anasemekana ni kati ya watu tajiri zaidi duniani kutokana na mapato ya mafuta ya petroli.
Yaliyomo
Watu[hariri | hariri chanzo]
Wakazi wengi (66.3%) ni wa jamii ya Wamalay, 11.2% ni Wachina, 3.4% ni Waborneo asili, 2.3% ni Wahindi, 16.8% wana asili tofauti.
Lugha rasmi ni Kimalay, lakini Kiingereza pia kinatambuliwa na katiba ya nchi.
Dini rasmi ni Uislamu wa madhehebu ya Sunni ambayo inafuatwa na thuluthi mbili za wakazi, lakini wakazi wengine wanafuata dini za Ubuddha (13%), Ukristo (10%) na dini za jadi (2%). Asilimia 7 hawana dini maalumu.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
This article incorporates public domain material from websites or documents of the CIA World Factbook.
- Atiyah, Jeremy (2002). Rough guide to Southeast Asia. Rough Guide. ISBN 978-1-85828-893-2.
- Frankham, Steve (2008). Footprint Borneo. Footprint Guides. ISBN 978-1-906098-14-8.
- Gudgeon, L. W. W. (1913). British North Borneo. Adam and Charles Black: London.
- Nicholl, Robert (2002). European sources for the history of the Sultanate of Brunei in the Sixteenth Century. Special Publications, no.9. Muzium Brunei. ISBN 9780802849458.
- History for Brunei (2009). History for Brunei Darussalam: Sharing our Past. Curriculum Development Department, Ministry of Education. ISBN 99917-2-372-2.
- McAmis, Robert Day (2002). Malay Muslims: the history and challenge of resurgent Islam in Southeast Asia. Wm. B. Eerdmans Publishing. ISBN 978-0-8028-4945-8.
- Melo Alip, Eufronio (1964). Political and cultural history of the Philippines, Volumes 1–2.
- Oxford Business Group (2009). The Report: Brunei Darussalam 2009. Oxford Business Group. ISBN 978-1-907065-09-5.
- Saunders, Graham E. (2002). A history of Brunei. Routledge. ISBN 978-0-7007-1698-2.
- United States War Dept (1903). Annual reports, Volume 3. Government Printing Office. https://books.google.com/books?id=BE9DHAAACAAJ.
- Oxford Business Group (2013). The Report: Brunei Darussalam 2013. Oxford Business Group. ISBN 978-1-907065-78-1.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Serikali
- Taarifa za jumla
- Brunei entry at The World Factbook
- Brunei from UCB Libraries GovPubs
- Brunei katika Open Directory Project
- Brunei profile from the BBC News
- Brunei at Encyclopædia Britannica
- Wikimedia Atlas of Brunei
- Key Development Forecasts for Brunei from International Futures
- Biashara
- Utalii
- Brunei Tourism website
- Brunei Attractions website
- Brunei information on globalEDGE
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Kirgizstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China. |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Brunei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |