Aksaray
Aksaray ni mji uliopo Anatolia ya Kati nchini Uturuki na ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Aksaray. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, idadi ya wakazi waishio katika wilaya hiyo ni 236,560 ambao wengine 129,949 wanaishi katika mji wa Aksaray.[1][2] Wilaya imechukua eneo la km 4,589 (na 1,772 sq mi),[3] na wastani wa mapolomoko ni m 980 (na ft 3,215), na kilele kirefu cha Mlima Hasan mnamo 3,253 m (na ft 10,673).
Historia
Maelezo
- Stierlin, Henry. 1998. Turkey: From the Selçuks to the Ottomans. New York: Taschen, 240.
- Sultan Han Aksaray
- Yavuz, Aysil Tükel. 1997. The Concepts that Shape Anatolian Seljuq Caravanserais. In Muqarnas XIV: An Annual on the Visual Culture of the Islamic World. Gülru Necipoglu (ed). Leiden: E.J. Brill, 80-95 (download)
- Falling Rain Genomics, Inc. "Geographical information on Aksaray, Turkey". Iliwekwa mnamo 2008-04-02.
- (Kituruki) Wizara ya Utalii na Utamaduni ya Uturuki. "General information on Aksaray, Turkey" (kwa Turkish). Iliwekwa mnamo 2008-04-02.
- District governor's official website (Kituruki) / (Kiingereza) / (Kifaransa)
Marejeo
- ↑ Taasisi ya Takwimu ya Watu ya Uturuki. "Census 2000, Key statistics for urban areas of Turkey" (XLS) (kwa Turkish). Iliwekwa mnamo 2008-04-02.
- ↑ GeoHive. "Statistical information on Turkey's administrative units". Iliwekwa mnamo 2008-04-02.
- ↑ Statoids. "Statistical information on districts of Turkey". Iliwekwa mnamo 2008-04-12.
Viungo vya nje
- District governor's official website (Kituruki) / (Kiingereza) / (Kifaransa)
- District municipality's official website (Kituruki)
- Aksaray Historical Place Photos
- Aksaray Weather Forecast Information
- Maps of Aksaray
- Aksaray (Kituruki)
- Aksaray News (Kituruki)
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Aksaray kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |