Aydın
Jump to navigation
Jump to search
Aidın (Kigiriki: Αϊδίνιο) ni mji mkuu wa Mkoa wa Aydın wa nchini Uturuki.
Aidın ni kitovu cha mabonde madogo ya Mto Meander kuelekea chini ya Bahari ya Aegean. Mji unafahamika toka zama za kale kwa kuwa na rutuba na mazao mengi. Leo hii zao kubwa lifahamikalo kwa huko ni ile miti ya mifigi, japokuwa eneo linaweza kuotesha baadhi ya kilimo cha mazao mengine tofauti na hayo.
Mji pia una viwanda vidogovidogo na maeneo kadhaa ya kihistoria na vitovu vya utalii. Hali ya hewa ya huko kwa kipindi cha kiangazi huwa na joto sana.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Aydın municipality Archived Aprili 30, 2009 at the Wayback Machine. (Kituruki)
- Tralleis Excavations Archived Desemba 18, 2014 at the Wayback Machine. (Kituruki)
- Photo Gallery of Aydin Archived Februari 6, 2012 at the Wayback Machine.
- Hazlitt's Classical Gazetteer
|
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Aydın kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |