Iğdır

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Ararat jinsi unavyoonekana kutoka mjini Iğdır.

Iğdır (Kiarmenia: Իգդիր) ni jina la mji mkuu wa Jimbo la Iğdır lililopo mjini Mashariki mwa Mkoa wa Anatolia, Uturuki. Mji umepakana na Armenia, Nakhchevan na Iran. Mpaka wa Armenia una sababishwa na Mto Aras. Mlima mrefu wa Uturuki ni Ağrı Dağı, upo ndani ya jimbo la Iğdır, lakini sehemu kubwa ya ardhi ni tupu ambo iko mbali na eneo la mlima. Mji una wakazi wapatao 119,432 na wengine 75,927 wapo mijini. Mji una eneo la kilomita za mraba zipatazo 1,479.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Iğdır kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.