Diyarbakır
Mandhari
Diyarbakır (Kiosmani Kituruki دیاربکر, Diyâr-ı Bekr; Kikurdi ئامهد, Amed; anc. Amida) ni mji mkubwa sana uliopo kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Mji upo katika eneo la ukingo wa Mto Tigris, huu ni mji mkuu wa Mkoa wa Diyarbakır wenye wakazi karibuni milioni 1.5[1]. Wenye lundiko la watu takriban 600,000[1], huu ni mji wa pili kwa ukubwa katika Uturuki ya Kusini-mashariki mwa mkoa wa Anatolia, baada ya Gaziantep.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ 1.0 1.1 "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-08-15. Iliwekwa mnamo 2009-05-22.
Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]- (Kituruki) Governorship of Diyarbakır Ilihifadhiwa 1 Novemba 2008 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır Metropolitan Municipality Ilihifadhiwa 12 Mei 2006 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakırspor funs, news, informarmation Ilihifadhiwa 10 Aprili 2010 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) local info Ilihifadhiwa 8 Februari 2009 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır Chamber of Trade and Industry Ilihifadhiwa 26 Septemba 2008 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Information on Diyarbakır
- (Kituruki) Diyarbakır news
- (Kituruki) Diyarbakır news Ilihifadhiwa 22 Mei 2009 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır news Ilihifadhiwa 17 Mei 2022 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır Hotels Ilihifadhiwa 25 Novemba 2015 kwenye Wayback Machine.
- Pictures of the City Ilihifadhiwa 4 Februari 2009 kwenye Wayback Machine.
- Diyarbakır Guide and Photo Album, more Ilihifadhiwa 12 Februari 2009 kwenye Wayback Machine., more
- Diyarbakır Weather Forecast Information Ilihifadhiwa 12 Februari 2009 kwenye Wayback Machine.
37°58′55″N 40°12′38″E / 37.9819°N 40.2106°E
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Diyarbakır kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |