Diyarbakır

Diyarbakır (Kiosmani Kituruki دیاربکر, Diyâr-ı Bekr; Kikurdi ئامهد, Amed; anc. Amida) ni mji mkubwa sana uliopo kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Mji upo katika eneo la ukingo wa Mto Tigris, huu ni mji mkuu wa Mkoa wa Diyarbakır wenye wakazi karibuni milioni 1.5[1]. Wenye lundiko la watu takriban 600,000[1], huu ni mji wa pili kwa ukubwa katika Uturuki ya Kusini-mashariki mwa mkoa wa Anatolia, baada ya Gaziantep.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 1.0 1.1 Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2009-08-15. Iliwekwa mnamo 2009-05-22.
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- (Kituruki) Governorship of Diyarbakır Archived 1 Novemba 2008 at the Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır Metropolitan Municipality Archived 12 Mei 2006 at the Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakırspor funs, news, informarmation
- (Kituruki) local info Archived 8 Februari 2009 at the Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır Chamber of Trade and Industry Archived 26 Septemba 2008 at the Wayback Machine.
- (Kituruki) Information on Diyarbakır
- (Kituruki) Diyarbakır news
- (Kituruki) Diyarbakır news Archived 22 Mei 2009 at the Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır news Archived 17 Mei 2022 at the Wayback Machine.
- (Kituruki) Diyarbakır Hotels
- Pictures of the City Archived 4 Februari 2009 at the Wayback Machine.
- Diyarbakır Guide and Photo Album, more Archived 12 Februari 2009 at the Wayback Machine., more
- Diyarbakır Weather Forecast Information Archived 12 Februari 2009 at the Wayback Machine.
Coordinates: 37°58′55″N 40°12′38″E / 37.9819°N 40.2106°E
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Diyarbakır kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |