Yalova

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Watalii wakiwa kwenye Mapolomoko ya Maji ya Sudüşen, karibu na Termal, Yalova

Yalova ni mji uliopo kaskazini-magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mji upo katika pwani ua Bahari ya Marmara. Huu ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Yalova. Mji huu wa Yalova una wakazi takriban 70,858, wakati idadi ya wakazi wa Mkoa wa Yalova imekadiriwa kuwa ni 188,440.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Yalova kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.