Kahramanmaraş
Faili:Kahramanmaras merkez.jpg
Mji wa Kahramanmaras.
Kahramanmaraş ni mji uliopo mjini mashariki mwa nchi ya Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Kahramanmaraş. Mji una wakazi takriban 326,198, kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2000.
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- Kahramanmaraş City Portal Archived 23 Julai 2008 at the Wayback Machine.
- Kahramanmaraş Communication Portal Archived 9 Agosti 2020 at the Wayback Machine.
- Kahramanmaraş Daily Information Website
- Kahramanmaraş Official Government Website
- Kahramanmaraş Town Office Website
- Kahramanmaraş Town Police Office Website
- Kahramanmaraşspor Unofficial Website Archived 15 Januari 2009 at the Wayback Machine.
- Kahramanmaraş , University of Sütçü İmam
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kahramanmaraş kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |