Kocaeli ni mkoa wa Uturuki. Mji wake mkuu ni İzmit, ambao pia huitwa kama jina la mkoa wenyewe la Kocaeli. Mji mkubwa mkoanio hapa kwa sasa ni Gebze. Kodi ya trafiki katika jimbo hili ni 41. Mkoa upo mwishoni kabisa mwa mashariki mwa Bahari ya Marmara, hasa katika eneo la Pwani ya İzmit. Kwa kufuatia kuwa na hali ya hewa nzuri iliyopo katika Pwani ya İzmit, mji una bandari asilia kubwa sana.