Mkoa wa Kırklareli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkoa wa Kırklareli
Maeneo ya Mkoa wa Kırklareli nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Marmara
Eneo: 6,550 (km²)
Idadi ya Wakazi 326,950 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 39
Kodi ya eneo: 0288
Tovuti ya Gavana http://www.kırklareli.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/kırklareli


Kırklareli ni jina la mkoa uliopo mjini kaskaini-magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mkoa upo kwenye pwani ya Bahari Nyeusi. Mkoa umepakana vilivyo na mapaka wa nchi ya Bulgaria kiasi cha kilomita 180 kutoka mkoani hapa. Unapaka na mkoa wa Edirne kwa upande wa magahribi na Tekirdağ kwa upande wa kusini na Istanbul kwa upande wa kusini-mashariki ya nchi. Kırklareli ndiyo mji wake mkuu wa mkoa huu.

Wilaya za mkaoni hapa[hariri | hariri chanzo]

Mkoa wa Kırklareli umegawanyika katika wilaya 8 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Faili:Kirklareli cansu KFL igneada2.jpg
İğneada along the Black Sea coast in Kırklareli Province
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kırklareli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.