Kanda ya Bahari Nyeusi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanda ya Bahari Nyeusi

Kanda ya Bahari Nyeusi' (Kituruki: Karadeniz Bölgesi) ni moja kati ya kanda 7 za kijiografia za Uturuki.

Miji mikubwa zaidi ya kanda hii ni Trabzon na Samsun.

Kanda hii iko katika kaskazini ya Anatolia kando la Bahari Nyeusi.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Mikoa kando la Bahari Nyeusi

21 kati ya mikoa 81 ya Uturuki imo ndani ya kanda ya Bahari Nyeusi:

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kanda ya Bahari Nyeusi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.