Mkoa wa Bingöl

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkoa wa Bingöl
Maeneo ya Mkoa wa Bingöl nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Anatolia ya Mashariki
Eneo: 8,125 (km²)
Idadi ya Wakazi 245,243 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 12
Kodi ya eneo: 0426
Tovuti ya Gavana http://www.bingöl.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/bingöl
Uwanja wa ndege wa Bingöl

Mkoa wa Bingöl ni mkoa uliopo mjini Mashariki mwa kanda ya Anatolia huko nchini Uturuki. Mkoa ulianzishwa mnamo mwaka wa 1946 ukiwa nje ya sehemu ya Elazığ na Erzincan. Mikoa ya jirani na mkoa huu ni pamoja na Tunceli (Dersim), Erzurum, Muş, Diyarbakır, Erzincan na Elazığ. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 8,125 na una wakazi wapatao 245,243. Idadi kubwa ya wakazi wa hapa ni Wakurdi. Lugha kuu za mkoani hapa ni Kituruki na Kikurdi. Mji mkuu wake ni Bingöl.

Wilaya za mkoani hapa[hariri | hariri chanzo]

Mkoawa Bingöl umegawanyika katika wilaya 8 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bingöl kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.