Maisha ya Bikira Maria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pentekoste, mchoro wa Duccio di Buoninsegna.

Maisha ya Bikira Maria kadiri ya historia yanajulikana hasa kutokana na habari zilizomo katika Injili nne zinazotumiwa na Wakristo pamoja na Matendo ya Mitume.

Humo tunasikia jinsi Bikira Maria:

Habari nyingine zinapatikana katika Injili ya Yakobo na maandishi mengine, ikiwemo Kurani, tena katika mapokeo ya Kanisa, lakini hazikubaliwi na wote.

Kuhusu suala la Maria kuzaa watoto wengine, katika Biblia ya Kikristo hakuna habari hiyo; ingawa wanatajwa ndugu wa Yesu, yeye tu anaitwa "mwana wa Maria" (Mk 6:3).

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maisha ya Bikira Maria kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.