Yesu kushushwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pietà ya Michelangelo katika Basilika la Mt. Petro, 14981499.

Yesu kushushwa kutoka msalabani mara baada ya kufa na kupakatwa na mama yake, Bikira Maria, ni tukio lililofikiriwa na wafuasi wake wengi na kuchorwa au kuchongwa na wasanii mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.

Maarufu zaidi ni sanamu ambayo ilichongwa katika marumaru na Michelangelo Buonarroti na inatunzwa katika basilika la Mtume Petro huko Vatikani.

Aina hiyo ya sanaa inaitwa kwa kawaida "Pietà", neno la Kiitalia linalomaanisha huruma.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: