Huruma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Huruma na Ukweli vikiwa pamoja katika mchoro huu mdogo wa karne ya 13 kuhusu Zaburi 85:10.

Huruma (kutoka neno la Kiarabu) ina maana ya wema ulio tayari kusaidia na kusamehe.[1][2]

Sifa hiyo kwanza ni wa "Mungu" kadiri ya dini mbalimbali, zikiwemo Uyahudi,[3] Ukristo[4] na Uislamu.[5]

Katika karne ya 20, iliyojaa ukatili wa vita vingi, sifa hiyo imezingatiwa zaidi katika ibada kwa Huruma ya Mungu.[6][7]

Kutokana na imani hiyo, binadamu pia anapaswa kuwa na huruma na kutekeleza matendo ya huruma ya kiroho na ya kimwili.[8][9][10][11]

Hata katika jamii, huruma inahitajika katika mahusiano yoyote pamoja na haki.[1][2]

Yesu alitangaza (Math 5:7), "Heri wenye huruma, maana hao watapata huruma" (kutoka kwa Mungu).[4][12]

Mara nyingi Liturujia inamlilia Mungu awe na huruma.[13]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Forgiveness, mercy, and clemency by Austin Sarat, Nasser Hussain 2006 ISBN 0-8047-5333-4 pages 1-5
  2. 2.0 2.1 Reflections of equality by Christoph Menke 2006 ISBN 0-8047-4474-2 page 193
  3. After the exile by John Barton, David James Reimer 1997 ISBN 978-0-86554-524-3 page 90
  4. 4.0 4.1 Mercies Remembered by Matthew R Mauriello 2011 ISBN 1-61215-005-5 page 149-160
  5. World religions and Islam: a critical study, Part 1 by Hamid Naseem Rafiabadi, 2003 Sarup and Sons Publishers ISBN 81-7625-414-2 page 211
  6. Butler's lives of the saints: the third millennium by Paul Burns, Alban Butler 2001 ISBN 978-0-86012-383-5 page 252
  7. Saints of the Jubilee by Tim Drake 2002 ISBN 978-1-4033-1009-5 pages 85-95
  8. Vatican website: Dives in misericordia
  9. We Believe in the Holy Spirit by Andrew Apostoli 2002 ISBN 1-931709-31-9 pages 105-107
  10. Vatican website Catechism item 2447
  11. Hooker, Richard (July 14, 1999). "arkan ad-din the five pillars of religion". Washington State University. [1] Archived 3 Desemba 2010 at the Wayback Machine.
  12. Agostino wa Hippo, Confessions, Book X, 27
  13. Catholic encyclopedia: Kyrie Eleison

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.