Eleusa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mozaiki ya karne ya 13 aina ya Eleusa, Athens, Ugiriki.

Eleusa (kwa Kigiriki: Ἐλεούσα – hisani) ni mtindo wa picha takatifu unaomuonyesha Bikira Maria akimpakata mtoto Yesu, nyuso zao zikigusana.[1][2]

Kati ya picha takatifu za aina hiyo, maarufu zaidi ni ile ya Bikira Maria wa Vladimir kutoka Urusi.

Aina hiyo ya michoro inapatikana hata katika Ukristo wa Magharibi[3][4]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The icon handbook: a guide to understanding icons and the liturgy by David Coomler 1995 ISBN|0-87243-210-6 page 203.
  2. The Meaning of Icons, by Vladimir Lossky with Léonid Ouspensky, SVS Press, 1999. ISBN|0-913836-99-0 page 85
  3. The era of Michelangelo: masterpieces from the Albertina by Achim Gnann 2004 ISBN|88-370-2755-9 page 54
  4. Art and faith in Mexico: the nineteenth-century retablo tradition by Charles Muir Lovell ISBN|0-8263-2324-3 pages 93–94

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]