Malkia wa Mbingu katika sanaa

Malkia wa Mbingu (kwa Kilatini: Regina caeli; tamka: reˈdʒina ˈtʃeli) ni sifa mojawapo ya Bikira Maria katika Kanisa la Kilatini inayotumika hasa katika sala maalumu ya wakati wa Pasaka, kuanzia Dominika ya Ufufuko wa Yesu hadi Pentekoste.
Katika siku hizo hamsini Malkia wa Mbingu [1] ndiyo antifona pekee inayotumika kumalizia Sala ya mwisho ya Liturujia ya Vipindi [2] lakini pia inashika nafasi ya sala ya Malaika wa Bwana (inayotumika karibu mwaka mzima mara tatu kwa siku: asubuhi, adhuhuri na jioni).
Uenezi wa sala hiyo umechangia kiasi chake kufanya wasanii wajitokeze kumchora au kuchonga sanamu ya Maria akiwa anatawazwa au ameshatawazwa kama malkia.
Picha[hariri | hariri chanzo]
Michoro[hariri | hariri chanzo]
Martino di Bartolomeo, 1400
Lorenzo Monaco, 1414, Uffizi, Florence
Pietro Perugino, 1504
Raphael, 1502-1504
Giacomo di Mino, 1340-1350
Giulio Cesare Procaccini, karne ya 17
Enguerrand Charonton, 1454
Botticelli, karne ya 15
Lorenzo Costa, 1501
Agnolo Gaddi, karne ya 14
Jean Fouquet, karne ya 15
Filippo Lippi, 1441
Paolo Veneziano, 1324
Ridolfo Ghirlandaio, 1504
Gentile da Fabriano, 1422-1425
Fra Angelico, 1434-1435
Sanamu[hariri | hariri chanzo]
Varallo Sesia, Italia
Michoro ya ukutani[hariri | hariri chanzo]
Tetmajer, 1895
El Escorial, Hispania
Fra Angelico, Florence, 1437-1446
Salzburg, 1697–1700
Aldo Locatelli, Brazil, karne ya 20
Altare[hariri | hariri chanzo]
Bartolo di Fredi, 1388
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Loyola Press: Regina Caeli. Re-accessed Oct 2021.
- ↑ "Finally one of the antiphons of the Blessed Virgin Mary is said. In Eastertide this is always the Regina caeli" (General Instruction of the Liturgy of the Hours, p. 18, paragraph 92).
Vyanzo[hariri | hariri chanzo]
- (1991) "Königtum Mariens", Marienlexikon 3 (in de). EOS Verlag, 589–596. ISBN 9783880968936.