Mama wa Mungu wa Vladimir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ilivyo leo.

Mama wa Mungu wa Vladimir ni picha takatifu maarufu ya mtindo wa Eleusa; inamuonyesha Bikira Maria akimpakata mtoto Yesu, nyuso zao zikigusana.[1].

Mchoro asili ulifanywa na msanii asiyejulikana katika karne ya 12, labda Konstantinopoli mwaka 1131. Kutokana na vituko vya historia ulitengenezwa upya mara tano.

Kwa sasa unatunzwa katika Tretyakov Gallery, Moscow, Urusi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The icon handbook: a guide to understanding icons and the liturgy by David Coomler 1995 ISBN 0-87243-210-6 page 203.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Beckwith, John (1970). Early Christian and Byzantine Art (kwa Kiingereza) (toleo la 2nd). Penguin History of Art. ISBN 978-0-14-056033-6. 
  • Belz, Elaine Elizabeth (2016). "A Wounded Presence: The Virgin of Vlaidimir Icon". The Graduate Journal of Harvard Divinity School (kwa Kiingereza) (Harvard College). Iliwekwa mnamo 12 August 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]