Kanisa Katoliki la Kisiria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makao makuu ya Kanisa huko Damasko.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Kanisa Katoliki la Kisiria (kwa Kiaramu ܥܕܬܐ ܣܘܪܝܝܬܐ ܩܬܘܠܝܩܝܬܐ, ʿīṯo suryaiṯo qaṯolīqaiṯo) ni mojawapo kati ya madhehebu ya Ukristo wa mashariki yenye ushirika kamili na Papa na Kanisa Katoliki lote.

Linafuata mapokeo ya Antiokia na kutumia liturujia ya Antiokia.

Patriarki wake ni Mor Ignatius Joseph III Younan tangu mwaka 2009. Makao yake ni Beirut nchini Lebanon.

Majimbo[hariri | hariri chanzo]

Kanisa hilo liliungana rasmi na Kanisa la Roma mwaka 1781. Kwa sasa lina majimbo yafuatayo:

Maaskofu wa sasa[hariri | hariri chanzo]

  • Moran Mor Ignatius Joseph III Younan (Patriarch of Antioch)
  • Jihad Mtanos Battah (Curial Bishop of Antioch and Titular Bishop of Phaena)
  • Basile Georges Casmoussa (Archbishop {personal title} and Curial Bishop of Antioch)
  • Flavien Joseph Melki (Curial Bishop of Antioch and Titular Archbishop of Dara dei Siri)
  • Jules Mikhael Al-Jamil (Auxiliary Bishop of Antioch and Titular Archbishop of Tagritum)
  • Gregorios Elias Tabé (Archbishop of Damascus)
  • Théophile Georges Kassab (Archbishop of Homs)
  • Denys Antoine Chahda (Archbishop of Aleppo)
  • Jacques Behnan Hindo (Archbishop of Hassaké-Nisibi)
  • Youhanna Boutros Moshe (Archbishop of Mossul)
  • Ephrem Yousif Abba Mansoor (Archbishop of Baghdad)
  • Athanase Matti Shaba Matoka (Archbishop Emeritus of Baghdad)
  • Clément-Joseph Hannouche (Bishop of Cairo)
  • Yousif Benham Habash (Bishop of Our Lady of Deliverance of Newark)
  • Timoteo Hikmat Beylouni (Apostolic Exarch of Venezuela and Titular Bishop of Sabrata)
  • Iwannis Louis Awad (Apostolic Exarch Emeritus of Venezuela and Titular Bishop of Zeugma in Syria)
  • Michael Berbari (Patriarchal Vicar of Australia and New Zealand)
Vifaa maalumu vya ibada.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Claude Sélis, Les Syriens orthodoxes et catholiques, Brepols (col. Fils d'Abraham), Bruxelles, 1988, OCLC 20711473
  • Jean-Pierre Valognes, Vie et mort des Chrétiens d'Orient, Fayard, Paris, 1994, ISBN 2-213-03064-2

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanisa Katoliki la Kisiria kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.