Nenda kwa yaliyomo

1781

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makala hii inahusu mwaka 1781 BK (Baada ya Kristo).

  • 13 Machi - Sayari ya Uranus imegunduliwa na William Herschel.
  • 4 Septemba - walowezi 44 waunda kijiji cha Los Angeles (jina kamili: El Pueblo de Nuestra Señora la Reina de los Ángeles de Portiuncula) ambayo leo hii ni ni mji mkubwa wa ili wa Marekani.
  • 19 Oktoba - Wanajeshi wa Uingereza wajisalimisha mjini Yorktown (Virginia) baada ya kushindwa na Wamarekani wanaosaidiwa na Wafaransa katika mapigano makubwa ya mwisho wa vita ya uhuru ya Marekani.

Waliozaliwa

[hariri | hariri chanzo]
Mwaka 2026 katika kalenda nyingine
Kalenda ya Gregori 2026
MMXXVI
Kalenda ya Kiyahudi 5786 – 5787
Ab urbe condita (Roma ya Kale) 2779
Kalenda ya Ethiopia 2018 – 2019
Kalenda ya Kiarmenia 1475
ԹՎ ՌՆՀԵ
Kalenda ya Kiislamu 1448 1449
Kalenda ya Kiajemi 1404 1405
Kalenda za Kihindu
- Vikram Samvat 2081 – 2082
- Shaka Samvat 1948 – 1949
- Kali Yuga 5127 5128
Kalenda ya Kichina 4722 4723
乙巳 – 丙午

Waliofariki

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: