1781

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Makala hii inahusu mwaka 1781 BK (Baada ya Kristo).

Matukio[hariri | hariri chanzo]

  • 13 Machi - Sayari ya Uranus imegunduliwa na William Herschel.
  • 4 Septemba - walowezi 44 waunda kijiji cha Los Angeles (jina kamili: El Pueblo de Nuestra Señora la Reina de los Ángeles de Portiuncula) ambayo leo hii ni ni mji mkubwa wa ili wa Marekani.
  • 19 Oktoba - Wanajeshi wa Uingereza wajisalimisha mjini Yorktown (Virginia) baada ya kushindwa na Wamarekani wanaosaidiwa na Wafaransa katika mapigano makubwa ya mwisho wa vita ya uhuru ya Marekani.

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 2024 katika kalenda nyingine
Kalenda ya Gregori 2024
MMXXIV
Kalenda ya Kiyahudi 5784 – 5785
Ab urbe condita (Roma ya Kale) 2777
Kalenda ya Ethiopia 2016 – 2017
Kalenda ya Kiarmenia 1473
ԹՎ ՌՆՀԳ
Kalenda ya Kiislamu 1446 – 1447
Kalenda ya Kiajemi 1402 – 1403
Kalenda za Kihindu
- Vikram Samvat 2079 – 2080
- Shaka Samvat 1946 – 1947
- Kali Yuga 5125 – 5126
Kalenda ya Kichina 4720 – 4721
癸卯 – 甲辰

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: