Nenda kwa yaliyomo

New Jersey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jumba la Jimbo la New Jersey huko Trenton
New Jersey

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Trenton
Eneo
 - Jumla 22,588 km²
 - Kavu 19,211 km² 
 - Maji 3,377 km² 
Tovuti:  http://www.nj.gov/

New Jersey (Jersey Mpya) ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Trenton lakini mji mkubwa ni Newark. Uko kwenye pwani ya Atlantiki upande wa mashariki ya Marekani bara.

Impepakana na New York, Delaware na Pennsylvania. Upande wa mashariki maji ya Atlantiki.

Jimbo lina wakazi wapatao 8,682,661 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 22,608.

New Jersey ilikuwa koloni ya Uingereza tangu 1729 na pia moja kati ya koloni 13 zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu 1778.

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya New Jersey bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu New Jersey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.