Tennessee

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Jimbo la Tennessee








Tennessee

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Nashville
Eneo
 - Jumla 109,151 km²
 - Kavu 109,752 km² 
 - Maji 2,399 km² 
Tovuti:  http://www.tennessee.gov/

Tennessee ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Imepakana na Kentucky, Virginia, North Carolina (Carolina Kaskazi), Georgia, Alabama, Mississippi, Arkansas na Missouri. Mipaka asilia ni Mto Mississippi upande wa maghaibi. Mji mkuu ni Nashville na mji mukubwa ni Memphis. Jimbo lina wakazi wapatao 6,214,888 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 109,247.

Gavana ya jimbo ni Phil Bredesen.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tennessee kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.