Nenda kwa yaliyomo

Oregon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Oregon
Jimbo
Kauli Mbiu
Alis volat propriis
Wimbo wa taifa
Oregon,My Oregon
Ramani ya
Ramani ya
Eneo la Oregon katika Marekani
Nchi Marekani
Mji Mkuu Salem
Jiji kubwa Portland
Ilijiunga February 14, 1859; (ya 33)
Lugha rasmi Kiingereza (de facto)
Utaifa M-Oregon Oregonian (en)
Serikali
Gavana Tina Kotek
Naibu gavana Tobias Read
Eneo
Jumla 254,806 km²
Ardhi 248,849 km²
Idadi ya Watu
Kadirio 4,272,371
Pato la Taifa (2024)
Jumla $329.38 Bilioni (ya 25)
Kwa kila mtu $77,916
HDI (2024) 0.938 (ya 12)
Maendeleo ya Juu Sana
Mapato ya Kati
ya Kaya (2023)
$80,200 (ya 19)
Majira ya saa UTC-8 (PCT)
Tovuti
🔗oregon.gov
Sehemu ya Jimbo la Oregon

Oregon ni jimbo la Marekani upande wa magharibi-kazkazini ya nchi. Iko kwenye pwani la Pasifiki.Mji mkuu ni Salem na Portland ni mji mkubwa. Impekana na Washington, Idaho, Nevada na California. Jimbo lina wakazi wapatao 3,790,060 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 255,026.Miji muhimu baada ya Portland ni Eugene, Astoria, Medford na Bend.

Mlima Hood ni mlima mkubwa katika Oregon.

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oregon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.