Oregon
Oregon |
|||
---|---|---|---|
Jimbo | |||
![]() |
![]() |
||
Kauli Mbiu Alis volat propriis |
|||
Wimbo wa taifa Oregon,My Oregon |
|||
![]() | |||
Nchi | Marekani | ||
Mji Mkuu | Salem | ||
Jiji kubwa | Portland | ||
Ilijiunga | February 14, 1859; (ya 33) | ||
Lugha rasmi | Kiingereza (de facto) | ||
Utaifa | M-Oregon Oregonian (en) | ||
Serikali | |||
Gavana | Tina Kotek | ||
Naibu gavana | Tobias Read | ||
Eneo | |||
Jumla | 254,806 km² | ||
Ardhi | 248,849 km² | ||
Idadi ya Watu | |||
Kadirio | ▲ 4,272,371 | ||
Pato la Taifa (2024) | |||
Jumla | ▲ $329.38 Bilioni (ya 25) | ||
Kwa kila mtu | ▲ $77,916 | ||
HDI (2024) | 0.938 (ya 12) Maendeleo ya Juu Sana |
||
Mapato ya Kati ya Kaya (2023) |
$80,200 (ya 19) | ||
Majira ya saa | UTC-8 (PCT) | ||
Tovuti 🔗oregon.gov |

Oregon ni jimbo la Marekani upande wa magharibi-kazkazini ya nchi. Iko kwenye pwani la Pasifiki.Mji mkuu ni Salem na Portland ni mji mkubwa. Impekana na Washington, Idaho, Nevada na California. Jimbo lina wakazi wapatao 3,790,060 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 255,026.Miji muhimu baada ya Portland ni Eugene, Astoria, Medford na Bend.
Mlima Hood ni mlima mkubwa katika Oregon.

Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Oregon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |