Oregon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Jimbo la Oregon








Oregon

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Salem
Eneo
 - Jumla 254,805 km²
 - Kavu 248,631 km² 
 - Maji 6,174 km² 
Tovuti:  http://www.oregon.gov/

Oregon ni jimbo la Marekani upande wa magharibi-kazkazini ya nchi. Iko kwenye pwani la Pasifiki.

Mji mkuu ni Salem na Portland ni mji mkubwa.

Impekana na Washington, Idaho, Nevada na California.

Jimbo lina wakazi wapatao 3,790,060 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 255,026.

Mlima Hood ni mlima mkubwa katika Oregon.

Miji muhimu baada ya Portland ni Eugene, Astoria, Medford na Bend.


Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oregon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.