Nenda kwa yaliyomo

Wyoming

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wyoming

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Cheyenne
Eneo
 - Jumla 253,336 km²
 - Kavu 251,489 km² 
 - Maji 1,847 km² 
Tovuti:  http://wyoming.gov/

Wyoming ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu na mji mkubwa ni Cheyenne. Miji muhimu baada ya Cheyenne ni Casper, Laramie na Rock Springs. Imepakana na Montana, South Dakota (Dakota Kusini), Nebraska, Colorado, Utah na Idaho. Jimbo lina wakazi wapatao 532,668 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 253,348.

Hifadhi la Taifa

[hariri | hariri chanzo]
Ramani ya Wyoming
Grand Teton National Park katika Wyoming

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wyoming kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.