Nenda kwa yaliyomo

Maine

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maine

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Augusta
Eneo
 - Jumla 91,646 km²
 - Kavu 79,931 km² 
 - Maji 11,715 km² 
Tovuti:  http://www.maine.gov/
Maine ya pwani karibu mto Kennebunk

Maine ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi ikipakana na New Hampshire (Hampshire Mpya), New Brunswick na Quebec katika Kanada. Upande wa mashariki kuna pwani la Atlantiki.

Jimbo lina wakazi wapatao 1,316,456 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 86,542.

Mji mkuu ni Augusta. Miji miwili mikubwa ya jimbo ni Portland na Lewiston.

Picha ya ramani kuonesha eneo la Maine

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maine kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.