New Brunswick

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru








New Brunswick

Bendera
Nchi Bendera ya Kanada Kanada
Mji mkuu Saint John
Eneo
 - Jumla 72,908 km²
Tovuti:  http://www.gnb.ca/
Saint John, New Brunswick

New Brunswick (Brunswick Mpya) ni jimbo la Kanada upande wa Bahari Atlantiki. Ni moja kati ya majimbo ya bahari (Kiingereza: Maritime provinces) matatu ya Kanada. Imekuwa jimbo la Kanada tangu 1867.

Lina eneo la 72,908 km².

Kunako mwaka wa 2009, idadi ya wakazi ilikuwa 748,319. Imepakana na Quebec na Nova Scotia.

Kuna lugha rasmi 2: Kiingereza na Kifaransa (32%).

Fredericton ni mji mkuu na Saint John ni mji mkubwa.

Jina la jimbo lilitolewa kwa heshima ya Mfalme George III wa Braunschweig (Kiingereza na Kifaransa: Brunswick) katika Ujerumani.

Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]

  1. Saint John (68,043)
  2. Moncton (64,128)
  3. Fredericton (50,535)
  4. Edmundston (16.643)

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu New Brunswick kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.