Saskatchewan
Jump to navigation
Jump to search
Tafadhali saidia kwa kuboresha makala hii kwa kuipanua. Ili kupata sababu angalia ukurasa wa majadiliano. Makala hii imetiwa alama tangu tarehe Septemba 2010 |
Saskatchewan | |||
|
|||
Nchi | ![]() | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Regina | ||
Eneo | |||
- Mkoa | 651,900 km² | ||
Tovuti: http://www.sk.ca/ |
Saskatchewan ni jimbo la Kanada. Una eneo la 651,900 km². Kunako mwaka wa 2009, idadi ya wakazi ilikuwa 1,023,810.
Mji mkuu ni Regina na mji mkubwa ni Saskatoon. Jimbo umepakana na Northwest Territories, Nunavut, Manitoba, Montana, North Dakota na Alberta.
Saskatchewan ni hasa jimbo la kilimo cha ngano pamoja na mafuta ya petroli.
Lugha rasmi ni Kiingereza.
Gavana wa jimbo ni Gordon Barnhart.
Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]
- Saskatoon (202,340)
- Regina (179,246)
- Prince Albert (34,138)
- Moose Jaw (32,132)
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- Province (jimbo) of Saskatchewan Official Website Archived 24 Februari 2011 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Saskatchewan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |