Manitoba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru








Manitoba

Bendera
Nchi Bendera ya Kanada Kanada
Mji mkuu Winnipeg
Eneo
 - Jumla 553,556 km²
Tovuti:  http://www.mb.ca/
Winnipeg Manitoba

Manitoba ni jimbo la Kanada upande wa Ghuba ya Hudson. Imekuwa jimbo la Kanada tangu 1870.

Una eneo la km² 647,797. Kunako mwaka wa 2009, idadi ya wakazi ilikuwa 1,213,815.

Jimbo limepakana na Nunavut, Ontario, North Dakota, Minnesota na Saskatchewan.

Maziwa makubwa ni Ziwa Winnipeg, Ziwa Manitoba na Ziwa Winnipegosis. Kuna maziwa takriban 110,000 jimboni.

Kuna lugha rasmi 2: Kiingereza na Kifaransa.

Mji mkuu na mkubwa ni Winnipeg.

Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]

  1. Winnipeg (619,544)
  2. Brendon (39,716)
  3. Thompson (13,254)
Chamchela katika Elie, Manitoba, 22 Juni 2007

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Manitoba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.