Nenda kwa yaliyomo

Carolina Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka North Carolina)
Sehemu ya Jimbo la North Carolina
North Carolina

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Raleigh
Eneo
 - Jumla 139,389 km²
 - Kavu 126,161 km² 
 - Maji 13,229 km² 
Tovuti:  http://www.nc.gov/

North Carolina (Karolina ya Kaskazini) ni jimbo la kujitawala la Marekani kwenye mwambao wa Atlantiki. Mji mkuu ni Raleigh na mji mkubwa ni Charlotte.

North Carolina ilikuwa kati ya majimbo 13 yaliyoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda Maungano ya Madola ya Amerika tangu 1789.

Imepakana na South Carolina, Georgia, Tennessee, Virginia na Bahari ya Atlantiki.

Jina limetokana na koloni ya Uingereza lililotolewa jina kwa heshima ya mfalme Charles II wa Uingereza. Kwa Kilatini "Charles ni "Carolus" au Karolo).

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Carolina Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.