Nenda kwa yaliyomo

Rhode Island

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Jimbo la Rhode Island
Rhode Island
Little Rhody

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Providence
Eneo
 - Jumla 4,002 km²
 - Kavu 2,706 km² 
 - Maji 1,295 km² 
Tovuti:  http://www.ri.gov/

Rhode Island ni jimbo la Marekani na jimbo dogo nchi nii. Jimbo uko la Atlantiki na upande wa mashariki ya nchi.

Mji mkuu na mji mkubwa ni Providence. Imepakana na Massachusetts na Connecticut. Jimbo lina wakazi wapatao 1,050,788 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,002.

Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Maungano ya Madola ya Amerika.

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rhode Island kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.