Colorado

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tambarare za juu za ukame huko Southeastern Colorado








Colorado

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Denver
Eneo
 - Jumla 269,601 km²
 - Kavu 268,627 km² 
 - Maji 974 km² 
Tovuti:  http://www.colorado.gov/

Colorado ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika magharibi kati ya Marekani bara. Mji mkuu na mji mkubwa jimboni ni Denver. Jimbo lina wakazi 4,939,459 (2008) wanaokalia eneo la kilomita za mraba 269,837. Colorado imekuna jimbo la Marekani tangu 1876.

Imepakana na Wyoming, Nebraska, Kansas, Oklahoma, New Mexico (Meksiko Mpya) na Utah.

Mto mkubwa ni Mto Colorado.

Colorado na Milima ya Miamba (Rocky Mountains)

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

State of Colorado Official Website

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Colorado kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.