Alaska

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru








Alaska

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Juneau
Eneo
 - Jumla 1,717,854 km²
 - Kavu 1,481,347 km² 
 - Maji 236,507 km² 
Tovuti:  http://www.alaska.gov/
Alaska

Alaska ni kati ya majimbo ya kujitawala ya Marekani. Iko kaskazini kabisa kwenye bara la Amerika ya Kaskazini. Alaska ni eneo la pekee haina mipaka na majimbo mengine ya Marekani mipaka yake kwenye nchi kavu ni na Kanada (Yukon). Ncha ya Alaska inakaribia Siberia (Urusi) katika Asia kwenye mlango wa Bering.

Eneo lake ni kubwa kushinda majimbo mengine ya Marekani lakini idadi ya wakazi ni ndogo kutokana na mazingira magumu kuna wakazi 627,000 pekee (2000). Hali ya hewa ni baridi sana na katika sehemu kubwa ya jimbo hakuna uwezekano wa kulima mashamba.

Mji mkuu ni Juneau lakini mji mkubwa ni Anchorage.

Alaska iliwahi kutawaliwa na Urusi lakini iliuzwa kwa Marekani 18 Oktoba 1867. Tangu 1959 eneo lilipata hali ya jimbo la kujitawala.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]



Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Alaska kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.