Orodha ya Makardinali
| Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu Kanisa Katoliki |
|
| Imani | |
|---|---|
|
Umoja wa Mungu |
|
| Muundo | |
|
Papa: Benedikto XVI |
|
| Historia | |
|
Historia Ukristo |
|
| Ibada | |
| Mapokeo ya liturujia | |
|
Liturujia ya Kilatini (Roma Milano Toledo Braga Lyon Canterbury) |
|
Orodha ya makardinali wa Kanisa Katoliki huonyesha makardinali wote ambao walikuwepo tarehe 24 Novemba 2007.
Papa ana haki ya kumteua kardinali bila ya kutangaza jina lake. Uteuzi huu huitwa "in pectore" (kilatini "moyoni"). Hii inaweza kutokea hasa kama ni kardinali kutoka nchi pasipo uhuru wa kidini au nchi ambayo haina uhusiano mzuri na kanisa katoliki. Tarehe hii hakuwepo yeyote wa namna hiyo.
Majina yamepangwa kufuatana na bara na nchi.