Liturujia ya Misri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Kimisri ya Mwinjili Marko, mwanzilishi wa Kanisa la Aleksandria. Jina rasmi la liturujia hiyo ni Liturujia ya Mt. Marko.

Liturujia ya Misri ni liturujia asili ya Wakristo wa Misri ambayo kutoka jiji la Aleksandria ilienea hasa Ethiopia na Eritrea.

Inatumiwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Misri, na vilevile na Kanisa Katoliki la Kimisri, pamoja na makanisa dada ya Ethiopia, Eritrea n.k. na kokote walikohamia Wakopti.

Wataalamu wanatambua uhusiano wa pekee kati ya liturujia hiyo na ile ya Roma, kwa mfano katika muundo wa anafora, ingawa ni ya mashariki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Liturujia ya Misri kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.