Wilaya ya Kakamega

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Kakamega
Mahali paWilaya ya Kakamega
Mahali paWilaya ya Kakamega
Wilaya ya Kakamega katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Kakamega
Eneo
 - Jumla 3,033.8 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 1,660,651

Wilaya ya Kakamega ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Magharibi wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Kakamega.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Kakamega.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Magharibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kakamega kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.