Wilaya ya Nandi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Nandi
Mahali paWilaya ya Nandi
Mahali paWilaya ya Nandi
Mahali pa Wilaya ya Nandi katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Kapsabet
Eneo
 - Jumla 2,884.5 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 752,965

Wilaya ya Nandi ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Bonde la Ufa wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Kapsabet.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Nandi.

Wilaya hii ilikuwa na jumla ya wakazi 578,751 (sensa ya 1999) [1] Archived 28 Septemba 2007 at the Wayback Machine..

Maumbile ya wilaya hii yamejawa na Milima ya Nandi. Wenyeji ni haswa wa kabila la Wanandi.

Wilaya ya Nandi ni maarufu kwa kuwa nyumbani kwa Wakenya wakimbiaji wengi, wakiwemo Kipchoge Keino, Henry Rono, Moses Tanui na Bernard Lagat.

Serikali za Mitaa[hariri | hariri chanzo]

Serikali ya Mtaa Aina Idadi ya Watu Wakaazi wa mjini*
Kapsabet Manispaa 64,830 17,918
Nandi Hills Mji 63,134 3,575
Nandi county Baraza la Mji 450,787 3,156

Maeneo ya utawala[hariri | hariri chanzo]

Tarafa Idadi ya Watu Wakazi wa mjini* Makao makuu
Aldai 96,220 200 Kobujoi
Kabiyet 43,367 751 Kabiyet
Kapsabet 125,115 16,942 Kapsabet
Kaptumo 26,782 150 Kaptumo
Kilibwoni 62,692 116 Kilibwoni
Kipkaren 52,753 0
Kosirai 35,383 957
Nandi Hills 77,514 3499 Nandi Hills
Tinderet 58,925 0

Maeneo Bunge[hariri | hariri chanzo]

Wilaya hii ilikuwa na Maeneo Bunge manne:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]