Wilaya ya Migori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Migori
Mahali paWilaya ya Migori
Mahali paWilaya ya Migori
Wilaya ya Isiolo katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Migori
Eneo
 - Jumla 2,586.4 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 917,170

Wilaya ya Migori ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Nyanza wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Migori.

Kwa sasa imekuwa sehemu ya kaunti ya Migori.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Nyanza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Migori kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.