Wajir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wajir
Nchi Kenya
Kaunti Wajir
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 82,800
Wajir kutoka angani.

Wajir ni mji wa Kenya kaskazini-mashariki ambao ni makao makuu ya Kaunti ya Wajir.

Wakazi walikuwa 82,800 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1]. Wengi wao ni Wasomali.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.