Kaunti ya Kakamega

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Msitu katika Kakamega

Kaunti ya Kakamega ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,867,579 katika eneo la km2 3,020, msongamano ukiwa hivyo wa watu 618 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Kakamega.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Kakamega imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eneo bunge Kata
Butere Marama West, Marama Central, Marenyo-Shianda, Marama North, Marama South
Ikolomani Idakho South, Idakho North, Idakho East, Idakho Central
Khwisero Kisa North, Kisa East, Kisa West, Kisa Central
Likuyani Likuyani, Sango, Kongoni, Nzoia, Sinoko
Lugari Mautuma, Lugari, Lumakanda, Chekalini, Chevaywa, Lawandeti
Lurambi Butsotso East, Butsotso South, Butsotso Central, Sheywe, Mahiakalo, Shirere
Malava West Kabras, Chemuche East, Kabras, Butali/Chegulo, Manda-Shivanga, Shirugu-Mugai, South Kabras
Matungu Koyonzo, Kholera, Khalaba, Mayoni, Namamali
Mumias Magharibi Mumias Central, Mumias North, Etenje, Musanda
Mumias Mashariki Lusheya/Lubinu, Malaha/Isongo, Makunga/East Wanga
Navakholo Ingotse-Mathia, Shinoyi-Shikomari, Esumeyia, Bunyala West, Bunyala East, Bunyala Central
Shinyalu Isukha North, Isukha Central, Isukha South, Isukha East, Isukha West, Murhanda

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3][hariri | hariri chanzo]

  • Butere 154,100
  • Kakamega Central 188,212
  • Kakamega East 167,641
  • Kakamega North 238,330
  • Kakamega South 111,743
  • Khwisero 113,476
  • Likuyani 152,055
  • Lugari 122,728
  • Matete 66,172
  • Matungu 166,940
  • Mumias East 116,851
  • Mumias West 115,354
  • Navakholo 153,977

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30. 
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Kakamega-county/
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.