Kabarnet
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kabarnet | |
| Nchi | Kenya |
|---|---|
| Mkoa | Bonde la Ufa |
| Wilaya | Baringo |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 9 583 |
Kabarnet ni mji wa Kenya katika Mkoa wa Bonde la Ufa. Mji upo m 1 815 kutoka juu ya usawa wa bahari.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kabarnet kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |