Kakamega

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kakamega, Kenya


Mji wa Kakamega
Mji wa Kakamega is located in Kenya
Mji wa Kakamega
Mji wa Kakamega

Mahali pa mji wa Kakamega katika Kenya

Majiranukta: 0°17′0″N 34°45′0″E / 0.28333°N 34.75000°E / 0.28333; 34.75000
Nchi Kenya
Kaunti Kakamega
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 91,768

Kakamega ni mji ulio makao makuu ya kaunti ya Kakamega nchini Kenya.

Wakazi walikuwa 91,768 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1]. Wenyeji ni hasa Waluhya.

Kakamega iko takriban kilomita 100 kaskazini kwa Kisumu.

Tangu mwaka 2006 chuo cha ufundi Kakamega kilipandishwa cheo kuwa Chuo Kikuu cha Malinde Musiro (Masinde Muliro University of Science and Technology).


Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.