Nyahururu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyahururu, Kenya


Nyahururu
Nyahururu is located in Kenya
Nyahururu
Nyahururu

Mahali pa mji wa Nyahururu katika Kenya

Majiranukta: 0°2′0″N 36°22′0″E / 0.03333°N 36.36667°E / 0.03333; 36.36667
Nchi Kenya
Kaunti Laikipia
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 51,434

Nyahururu ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki. Mji uko Mashariki kwa Nakuru kwenye mita 2,303 juu ya UB.

Ni sehemu ya kusini magharibi ya Kaunti ya Laikipia.

Mji huu ulianzishwa kwa jina la Thomson Falls kutokana na maporomoko ya mto Ewaso Narok unaotiririka kutoka milima ya Aberdare.

Mji huu ulimea pamoja na kituo cha reli iliyoishikanisha na mji wa Gilgil. Nyahururu ilikuwa penye viwanda vya National Pencil, ambayo ilifungwa, na Kenya Cooperative Creameries. Chuo kikuu cha Egerton lina shule huko Nyahururu na kuna shule kadhaa za binafsi.

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 51,434[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.