Maporomoko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maporomoko ya maji.

Maporomoko humaanisha kwa kawaida kuanguka au kuteleza chini cha vitu vilivyokuwa juu zaidi.

Mara nyingi hutumiwa kwa sehemu ambako maji ya mto huporomoka kwenye sehemu ya mtelemko wa ghafla.

Mara nyingi jina hilo linatumiwa pia kutaja mahali ambako maporomoko ya maji hutokea au yalitokea.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.