Nyeri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyeri, Kenya


Nyeri
Nyeri is located in Kenya
Nyeri
Nyeri

Mahali pa mji wa Nyeri katika Kenya

Majiranukta: 0°25′0″S 36°57′0″E / 0.41667°S 36.95000°E / -0.41667; 36.95000
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Kaunti
Nyeri
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 125,357

Nyeri ni mji wa Kenya ya kati, takriban kilomita 100 kaskazini kwa Nairobi, miguuni mwa safu ya Aberdare ikitazama mlima Kenya. Nyeri ni makao makuu ya Kaunti ya Nyeri.

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 125,357[1]. Wakazi walio wengi ni Wakikuyu.

Nyeri imejulikana kimataifa kwa sababu ni mahali pa kuzikwa kwa Robert Baden-Powell anayekumbukwa kama mwanzilishi wa harakati ya maskauti. Maskauti kutoka nchi mbalimbali za dunia hufika hapo mara kwa mara kwa kumheshimu mzee huyu.


Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.