Bomet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Barabara ya Narok-Bomet katika Mji wa Bomet


Bomet
Kaunti Bomet
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 110,963

Bomet ni mji mkuu wa kaunti ya Bomet nchini Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Wakazi walikuwa 110,963 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.