Mombasa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mombasa | |||
| Pembe za Mombasa ni ishara ya mji | |||
|
|||
| Mahali pa mji wa Mombasa katika Kenya | |||
| Anwani ya kijiografia: 4°3′S 39°40′E / 4.05°S 39.667°E | |||
| Nchi | Kenya | ||
|---|---|---|---|
| Mkoa | Pwani | ||
| Wilaya | Mombasa | ||
| Idadi ya wakazi | |||
| - Mji | 707 400 | ||
Mombasa ni mji mkubwa wa pili wa Kenya mwenye bandari muhimu zaidi ya Afrika Mashariki. Iko kwenye mwambao wa Bahari Hindi. Kuna wakazi zaidi ya milioni moja kwenye kisiwa cha Mombasa pamoja na sehemu zake barani.
Mombasa ni kitovu cha utalii wa pwani la Kenya. Watalii walio wengi hufika kweye kiwanja cha ndege cha Moi.
Kati ya ishara ya mji ni Boma la Yesu na pembe za Mombasa.
Kiswahili cha Mombasa chaitwa "Kimvita".
Mombasa na Seattle ni "miji-ndugu".
Viungo vya nje[hariri]
- Imombasa (Kiingereza)
- Mombasa Online (Kijerumani)
- Mombasa Polytechnic University College
- Port of Mombasa (Kiingereza)
| Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mombasa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikimedia Commons ina media kuhusu: