Wilaya ya Mombasa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Mombasa
Mahali paWilaya ya Mombasa
Mahali paWilaya ya Mombasa
Mahali pa Wilaya ya Mombasa katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Mombasa
Eneo
 - Jumla 295 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 939,370

Wilaya ya Mombasa ilikuwa wilaya ya Mkoa wa Pwani wa Jamhuri ya Kenya.

Makao makuu yake ilikuwa Mombasa mjini.

Baada ya katiba mpya kupatikana, imekuwa kaunti ya Mombasa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mombasa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.