Wilaya ya Mwingi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Barabara kuu ya Mwingi.

Wilaya ya Mwingi ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Mashariki wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Mwingi.

Kwa sasa imekuwa tena sehemu ya kaunti ya Kitui.

Wilaya ilikuwa na wakazi 303.828 (sensa ya 1999). Walio wengi ni Wakamba. Mwanasiasa Kalonzo Musyoka ni mwenyeji wa Tseikuru katika Mwingi.

Eneo lapakana na hifadhi ya taifa ya Mwingi National Reserve (zamani Kitui North National Reserve).

Wilayani kulikuwa na majimbo mawili ya uchaguzi: Mwingi Kaskazini na Mwingi Kusini.

Miji (halmashauri)
Mamlaka Aina Wakazi* Wakazi wa mjini*
Mwingi mji 67,678 10,138
Mwingi County mashambani 236,150 462
jumla - 303,828 10,600
Vitengo vya utawala
Tarafa Wakazi* Wakazi wa miji.* Makao makuu
Central 83,687 9,281 Mwingi
Kyuso 34,272 0
Migwani 56,907 433 Migwani
Muumoni 37,607 0
Ngomeni 10,712 0 Ngomeni
Nguni 20,415 0 Nguni
Nuu 36,561 0
Tseikuru 23,667 0 Tseikuru
Jumla 303,828 9,714 -
* 1999 census. Sources: [1], [2],

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mashariki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mwingi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.