Wilaya ya Mwingi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Mwingi ni kati ya wilaya za Mkoa wa Mashariki wa Jamhuri ya Kenya. Wilaya ni sehemu ya Ukambani ina wakazi 303.828 (sensa ya 1999). Makao makuu yake iko Mwingi mjini.
Wenyeji walio wengi ni Wakamba. Eneo lapakana na hidfadhi ya taifa ya Mwingi National Reserve (zamani Kitui North National Reserve).
Wilayani kuna majombo mawiliy a uchaguzi ni Mwingi Kaskazini na Mwingi Kusini. Mwanasiasa Kalonzo Musyoka ni mwenyeji wa Tseikuru katika Mwingi.
| Miji (halmashauri) | |||
| Mamlaka | Aina | Wakazi* | Wakazi wa mjini* |
|---|---|---|---|
| Mwingi | mji | 67,678 | 10,138 |
| Mwingi County | mashambani | 236,150 | 462 |
| jumla | - | 303,828 | 10,600 |
| Vitengo vya utawala | |||
| Tarafa | Wakazi* | Wakazi wa miji.* | Makao makuu |
|---|---|---|---|
| Central | 83,687 | 9,281 | Mwingi |
| Kyuso | 34,272 | 0 | |
| Migwani | 56,907 | 433 | Migwani |
| Muumoni | 37,607 | 0 | |
| Ngomeni | 10,712 | 0 | Ngomeni |
| Nguni | 20,415 | 0 | Nguni |
| Nuu | 36,561 | 0 | |
| Tseikuru | 23,667 | 0 | Tseikuru |
| Jumla | 303,828 | 9,714 | - |
| * 1999 census. Sources: [1], [2], | |||
Viungo vya Nje [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mashariki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mwingi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |