Wilaya ya Marakwet
Wilaya ya Marakwet ni wilaya ya utawala katika Mkoa wa Bonde la Ufa nchini Kenya. Mji mkuu wake ni Kapsowar. Wilaya hii ina jumla ya wakaazi 140,629 [1]. Wakaazi wenyeji ni haswa wa kabila la Wamarakwet.
Wilaya hii iliundwa mweaka wa 1927 kama Wilaya ya Elgeyo/Marakwet District . Iligawanywa mara mbili na kuunda Wilaya ya Keiyo na Marakwet mwaka wa 1994.
Wakimbiaji wengi mashuuri Wakenyan hutoka Marakwet, na wanaojulikana ni pamoja na Moses Kiptanui, Evans Rutto, Reuben Kosgei , Ezekiel Kemboi na Richard Chelimo.
Wilaya hii ina tu serikali moja ya mtaa, Baraza la Mji wa Marakwet. Kwa hivyo, idadi yake ya watu ni sawa na idadi ya wilaya (140,629). Baraza na Wilaya haina idadi ya wakaazi wanaotambulika kama wakaazi wa mjini (sensa ya 1999 census [2].
[hariri] Maeneo ya utawala
}}
| Tarafa | Idadi ya Watu | Makao makuu |
|---|---|---|
| Chebiemit | 18,559 | Chebiemit |
| Kapcherop | 39,328 | Kapsowar |
| Kapsowar | 19,647 | Kapsowar |
| Kapyego | 11,452 | Kapyego |
| Tirap | 23,311 | Kapchebau |
| Tot | 17,744 | Tot |
| Tunyo | 10,588 |
[hariri] Maeneo Bunge
Wilaya hii ina maeneo bunge mawili :
[hariri] Marejeo
- ↑ Communications Commission of Kenya: Status of Coverage of Communications Services
- ↑ Kenya National Bureau of Statistics: Population of local authorities